Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
EXCLUSIVE (TANZANIA) – Q. Chief na MB Dog kurudi darasani
23 December 2015

Wasanii Q Chief na MB Dog,wanaosimamiwa na meneja mwezeshaji QS J Mhonda anatarajia kuwarudisha shule wanamuziki hao.
Akiongea na Planet Bongo ya East Africa Television, Mhonda alisema hatua hiyo itawasaidia wasanii hao kuweza kujitegemea nje ya muziki.
“Nataka kuwapeleka katika fani mbalimbali kama ujenzi, uchoraji na fani nyingine. Q Chief na MB Dog nao wataenda kujifunza ili waweze kufanya ishu nyingine nje ya muziki”, alisema Mhonda.
QS J Mhonda ni moja ya kampuni kubwa za muziki nchini zinazotumia gharama kubwa katika kusimamia wasanii wake pamoja na kuwagharamikia kwa vitu mbalimbali.
Weekly Top 10 songs

Kamwambie3:47
chile-one-so-lucky4:02
Joy Is Coming3:08
TUMWAMBIE MUNGU ASANTE0:49
Malaika2:49
NALOKINGA2:52
Stima - Buruklyn Boyz5:04
Baddie remix feat Shannnon, aaronix, Tojo3:14
Buwooma2:44
Alifata Hela3:53
Top stories
- NEW MANAGEMENT
01 April
- Love
01 April
- My biography
02 April
- STREAM NEXARITO SONGS ON SPOTIFY
02 April


Leave your comment