Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
EXCLUSIVE (TANZANIA) – Q. Chief na MB Dog kurudi darasani
23 December 2015

Wasanii Q Chief na MB Dog,wanaosimamiwa na meneja mwezeshaji QS J Mhonda anatarajia kuwarudisha shule wanamuziki hao.
Akiongea na Planet Bongo ya East Africa Television, Mhonda alisema hatua hiyo itawasaidia wasanii hao kuweza kujitegemea nje ya muziki.
“Nataka kuwapeleka katika fani mbalimbali kama ujenzi, uchoraji na fani nyingine. Q Chief na MB Dog nao wataenda kujifunza ili waweze kufanya ishu nyingine nje ya muziki”, alisema Mhonda.
QS J Mhonda ni moja ya kampuni kubwa za muziki nchini zinazotumia gharama kubwa katika kusimamia wasanii wake pamoja na kuwagharamikia kwa vitu mbalimbali.
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00
Top stories
- Excellent Jesus
26 May
- Angel Prince Biography
27 May
- Grateful
25 May


Leave your comment