Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
EXCLUSIVE (TANZANIA): Faiza Kathibitisha Bado Anampenda Joseph Mbilinyi ‘Sugu’
30 October 2015

Aliyekuwa mpenzi wa mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph ‘Sugu’ Mbilinyi, Faiza Ally ameamua kuweka wazi kuwa japokuwa wamegombana na mzazi mwenzake lakini bado anampenda na kumthamini.
Kupitia kwenye akaunti yake wa instagram amepost picha ya Sugu na kuandika>>Alie kwambia simpendi nani ???? Nampenda ndio maana nili zaa nae
Weekly Top 10 songs
Top stories
- Jalingo
04 May
- Redice1 story
04 May
- Parsonal background
04 May




Leave your comment