Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
EXCLUSIVE (TANZANIA) - Rapper Songa afiwa na Baba yake mzazi
28 October 2015
<p style="text-align: justify;"><img src="/media/articles/1446018058_1987_b.jpg" alt="" /></p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;">Rapper Songa afiwa na Baba yake mzazi mchana wa jana tarehe 27/10, msanii huyo alipost Twitter na kuandika “Nimepata taarifa za kusikitisha sana leo mchana. Baba yangu mzazi amefariki, naomba Mungu amlaze pema, shukrani kwa wote wanaoendelea kunipa pole”. Pole kwake na familia nzima Mungu awape faraja kwa kipindi hichi kigumu.</p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;">Rapper Songa afiwa na Baba yake mzazi mchana wa jana tarehe 27/10, msanii huyo alipost Twitter na kuandika “Nimepata taarifa za kusikitisha sana leo mchana. Baba yangu mzazi amefariki, naomba Mungu amlaze pema, shukrani kwa wote wanaoendelea kunipa pole”. Pole kwake na familia nzima Mungu awape faraja kwa kipindi hichi kigumu.</p>
Weekly Top 10 songs
Top stories
- Oyo Oyo oyaa
10 September
- Market Trend On FootWear Major Industry
11 September
- RMG Trade on GOLD
11 September





Leave your comment