EXCLUSIVE (TANZANIA) - Rapper Songa afiwa na Baba yake mzazi
28 October 2015
<p style="text-align: justify;"><img src="/media/articles/1446018058_1987_b.jpg" alt="" /></p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;">Rapper Songa afiwa na Baba yake mzazi mchana wa jana tarehe 27/10, msanii huyo alipost Twitter na kuandika “Nimepata taarifa za kusikitisha sana leo mchana. Baba yangu mzazi amefariki, naomba Mungu amlaze pema, shukrani kwa wote wanaoendelea kunipa pole”. Pole kwake na familia nzima Mungu awape faraja kwa kipindi hichi kigumu.</p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;">Rapper Songa afiwa na Baba yake mzazi mchana wa jana tarehe 27/10, msanii huyo alipost Twitter na kuandika “Nimepata taarifa za kusikitisha sana leo mchana. Baba yangu mzazi amefariki, naomba Mungu amlaze pema, shukrani kwa wote wanaoendelea kunipa pole”. Pole kwake na familia nzima Mungu awape faraja kwa kipindi hichi kigumu.</p>




Leave your comment