Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
EXCLUSIVE (TANZANIA): Diamond Kushindanishwa Na Priyanka Chopra Katika Tuzo Za MTV EMA
19 October 2015

Msanii Diamond kuchuana na mwanadada Priyanka Chopra kutoka India katika kipengele cha Best Worldwide Act (Africa/India) katika tuzo za MTVEMA. Baada ya kushinda Best Indian Act mwaka huu, Priyanka aliyewahi kuwa Miss World 2000, mwigizaji maarufu nchini India na mwanamuziki. ambaye kwa sasa ni mwigizaji wa tamthiliya mpya ya Marekani inayorushwa na televisheni ya ABC.

Priyanka Chopra
Diamond ambaye alishinda kipengele cha Best African Act atahitaji kura nyingi kutoka Afrika ili kuweza kushinda mchuano huo.
RELATED
EXCLUSIVE(TZ): ''Sio picha nzuri mwanangu apatane na picha ya babake anamtia denda demu... '' Diamond Shares How Tiffa Has Changed His Life
Weekly Top 10 songs
Top stories
- STREAM NEXARITO SONGS ON SPOTIFY
02 April
- My biography
02 April




Leave your comment