Nyimbo Mpya Tanzania: Ova Lyrics-Mbosso

[Picha: Instagram]

Pakua DJ Mix Mpya Kila Siku


VERSE

Vishavu vimeanza kunona
Kitambi ndo hichi sasa ona
Nitazame, nanenepa nanenepa
Nami nimempata chioma

 

HOOK
Ulijichanganya, na nilikupenda sana
Walokudanganya, ndo walokuponza dear
Kujitia mpana, mara kunitukana
Kwakweli hapana, nikasema ova dear
Ova ova

CHORUS
Ova mi na wewe ova
Ova imetosha ova
Ova mi na wewe ova
Ova nimesema ova

HOOK
Ulijichanganya, na nilikupenda sana
Walokudanganya, ndo walokuponza dear
Kujitia mpana, mara kuntukana
Kwakweli hapana, nikasema ova dear

 

VERSE
Shilingi shilingi shilingi
Shilingi yatutoa roho shilingi
Shilingi yo ni mwanaharamu shilingi
Shilingi ya ua mapenzi

 

HOOK
Ulijichanganya, na nilikupenda sana
Walokudanganya, ndo walokuponza dear
Kujitia mpana, mara kuntukana
Kwakweli hapana, nikasema ova dear

 

CHORuS
Ova mi na wewe ova
Ova imetosha ova
Ova mi na wewe ova
Ova nimesema ova

 

OUTRO
Ulijichanganya, na nilikupenda sana
Walokudanganya, ndo walokuponza dear
Kujitia mpana, mara kuntukana
Kwakweli hapana, nikasema ova dear
Ova ova

https://www.youtube.com/watch?v=P2hhlJRzYBU

 

Leave your comment