Cassper Nyovest, Diamond Platnumz, Jaivah Na Rayvanny Watarajiwa Kutumbuiza Jijini Dar Es Salaam Wikiendi Hii

Image Source: Online 

Writer: Charles Maganga 

Msanii kutokea Afrika Kusini, Casper Nyovest anatarajiwa kutua jijini Dar Es Salaam Wikiendi hii kwa ajili ya kutoa burudani kali kwa mashabiki wa muziki.

Casper anatarajiwa kutumbuiza kwenye tamasha la "Bites Vibes" kuanzia ambalo litafanyika kati ya Tarehe 26 na 27 mwezi huu.

Casper atatumbuiza na wasanii wengine wakubwa kama Diamond Platnumz, Rayvanny, Abigail Chams, Jaivah, Billnass na Darassa

Tamasha hilo la kihistoria linatarajiwa kufanyika ndani ya siku mbili kwenye viwanja vya posta jijini Dar Es Salaam.

Leave your comment