Zawadi Lyrics By Zuchu

 

Image Source: Online 

Mon cherie ne t’aime beacoup

Penzi lako gundi nimenasa

Mon cherie kama uchawi upoo

Mganga wako fundi hasa hasa

Eh mwamvuli wangu moyo umefunika

Wewe ndo kiboko yangu

Unaejua pakunishika

Kama mapenzi pili pileey

Lako laniwasha in a good way

Nishakupa moyo na mwileey

Uwe wako uchukuee

Pokea, pokea

Zawadi, zawadi

Ya upendo wangu

Ya upendo wanguuu my love

Pokea, pokea

Zawadi, zawadi

Ya upendo wangu

Ya upendo wanguuu my love

Ma cherie cherie

Mu ungiye baridi weni komeya

Mi uka makini

Matso yangu ye hu ona hu fumbariya

Zidisha ye zana

Bawe huni lisi yilikiki kazana

Kama mapenzi pili pileey

Lako laniwasha in a good way

Nishakupa moyo na mwileey

Uwe wako uchukue

 

Pokea, pokea

Zawadi, zawadi

Ya upendo wangu

Ya upendo wanguuu my love

Pokea, pokea

Zawadi, zawadi

Ya upendo wangu

Ya upendo wanguuu my love

Njoo tucheze kompaa, kompaa

Mh mmh aah

We lizer weweee

Aah yah yah yah yah

Eeh warereeee, wakachaa

Eeh wakachaa, warereee

Mh mh nh mh mh aah

https://youtu.be/nqxrYkKei0E?si=zpYNUyx38i2XTl4V

Leave your comment