Dharau Lyrics By Ibraah Ft Harmonize

Image Source: Instagram

Mmh Bomboclat 

Mungu alonipa ukilema hawezi ninyima mwendo 

Na sikupanga imenibidi kulivua pendo

Maana mwanzo nilidhani umebadilika 

Ofcourse hakuna aliekamilika 

Masaa masiku miaka imekatika 

Nachukia nikijiona nikilalamika 

Bora ugali dagaa kwenye amani 

Kuliko wali nyama vitani 

Mateso vitimbwi purukushani 

Kama unajiona kichwa shingo nani 

Bora ugali dagaa kwenye amani 

Kuliko wali nyama vitani 

Mateso vitimbwi purukushani 

Kama unajiona kichwa shingo nani 

 

Mi sipendi dharau manyanyaso masimango siwezi siwezi 

Dharau manyanyaso dharau masimango siwezi siwezi 

 

Me nilidhulumu nafsi kujirikirihisha 

Nikiamini mi mtu wa mtu

Kumbe bora ningechukuchuku 

Aaaah kidogo ningefanya utukutu 

Moyo ndo ulikupa nafasi kunisikitisha nilichoambulia maumivu tu 

Bora ningechukuchuku 

Ama ningewapa watu wakifanye supu 

Kwako nilikuwa nyendo nikijua you are my destiny 

Sina wa kumtunzia heshima kama hata wewe nitashindwa kukuthamini 

Nitakwenda utakwenda mazima 

Japo itakuwa ngumu kuamini 

Nitamisi michezo ya mama Amina 

Kwa kucheza kwa kuburuza ulimi 

 

Mapenzi ulionipa wewe 

Walai sikutamani mwingine we wa kiapo 

Mwenzangu umebadilika wewe 

Japo mi nakupa kila utakacho 

 

 

 Bora ugali dagaa kwenye amani 

Kuliko wali nyama vitani 

Mateso vitimbwi purukushani 

Kama unajiona kichwa shingo nani 

 

Mi sipendi dharau manyanyaso masimango siwezi siwezi 

Dharau manyanyaso dharau masimango siwezi siwezi

 

Leave your comment