Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
Lyrics- Jay Melody - SAWA
27 February 2023

[Image Source: Screengrab/YouTube]
Pata Habari za Muziki na Mixtapes Kwenye Telegram
Mapenzi tu,
Nimepagawa hamjui
Ye kila mara ananifanya silali
Namwaza yeye tu
Anayeweka roho yangu juu
Ana utoto tu
Sema uzuri ananipaga asali
Mi nailamba tu
Na penzi letu ni kama sunna
Na ulinzi kama suma
Hata akinuna
Bado unapendeza mchumba
Mkimuona ananichuna
Msinionee huruma
Cha mtu huliwa na mtu
Kutu yake chuma
Basi mwambieni nampenda
Sawa, sawa, sawa
Ah mwambie mi nampenda
Yes (Sawa) Right (Sawa) Sawa
Huo utamu hasa nikiingia
Akifungua gate naingia
Akipanua neti naingia
Na wala sikwepeshi naingia
Sina akili ya kuchange idea
Hapo hapo nimemng’ang’ania
Hapo hapo nimeshikilia
Na visokorokwinyo mtaumia, naahaa
Kwa hakika haya mapenzi
Kusema kweli, yataniua
Kwa hakika haya mapenzi
Kusema kweli, yataniua
Na penzi letu ni kama sunna
Na ulinzi kama suma
Hata akinuna
Bado unapendeza mchumba
Mkimuona ananichuna
Msinionee huruma
Cha mtu huliwa na mtu
Kutu yake chuma
Basi mwambieni nampenda
Sawa, sawa, sawa
Ah mwambie mi nampenda
Yes (Sawa) Right (Sawa) Sawa
Weekly Top 10 songs
Top stories
- The Marathon
25 April
- MOSS Kay
24 April
- Cashout by monyzoh boy
24 April
- Naphlic_fx
24 April





Leave your comment