Lyrics- Jay Melody - SAWA

[Image Source: Screengrab/YouTube]

Pata Habari za Muziki na Mixtapes Kwenye Telegram

Mapenzi tu,

Nimepagawa hamjui

Ye kila mara ananifanya silali

Namwaza yeye tu

Anayeweka roho yangu juu

Ana utoto tu

 

Sema uzuri ananipaga asali

Mi nailamba tu

Na penzi letu ni kama sunna

Na ulinzi kama suma

Hata akinuna

Bado unapendeza mchumba

Mkimuona ananichuna

Msinionee huruma

 

Cha mtu huliwa na mtu

Kutu yake chuma

Basi mwambieni nampenda

Sawa, sawa, sawa

Ah mwambie mi nampenda

Yes (Sawa) Right (Sawa) Sawa

Huo utamu hasa nikiingia

Akifungua gate naingia

Akipanua neti naingia

Na wala sikwepeshi naingia

Sina akili ya kuchange idea

Hapo hapo nimemng’ang’ania

Hapo hapo nimeshikilia

Na visokorokwinyo mtaumia, naahaa

Kwa hakika haya mapenzi

Kusema kweli, yataniua

Kwa hakika haya mapenzi

Kusema kweli, yataniua

Na penzi letu ni kama sunna

Na ulinzi kama suma

 

Hata akinuna

Bado unapendeza mchumba

Mkimuona ananichuna

Msinionee huruma

Cha mtu huliwa na mtu

Kutu yake chuma

Basi mwambieni nampenda

Sawa, sawa, sawa

Ah mwambie mi nampenda

Yes (Sawa) Right (Sawa) Sawa

https://www.youtube.com/watch?v=-ZLUogRX29Y

Leave your comment