Lyrics : Yammi Tz -Namchukia
27 January 2023
[Image Source: Instagram]
Pakua na Kuskiza mziki wa Yammi Tz Ndani Ya Mdundo
Uzuri si hadidhiwi nayaona
Haya hapa nayaona
Mabaya yako kwa macho yangu nayaona
Sio kwamba napenda kuwa kin’gan’ganizi tatizo mazoea
Nimekuzoea sidhani kama ntapona
Napiga simu namba inatumika kila dakika
Kumbe ameni block ame ni blacklist amenichoka
Roho inajenga sumu hata nkifika mbinguni nime choka
Mungu aliumba mapenzi lakini yana watu wake
Wallahy namchukia kumfahamu najutia
Wallahy namchukia kumfahamu najutia
Unayo fanya si unaona uko sawa basi kazana
Si unapenda hivi nnavyolia na kun’gan’gana
Haujuwi ustaarabu unachojuwa ni kufoka na kutukana
Na hivi nilivyo bubu mama kanifunza nidhamu ni kukaa kimya
Sio kwamba napenda kuwa kin’gan’ganizi tatizo mazoea
Nimekuzoea sidhani kama ntapona
Napiga simu namba inatumika kila dakika
Kumbe ameni block ame ni blacklist amenichoka
Roho inajenga sumu hata nkifika mbingu nime choka
Mungu aliumba mapenzi lakini yana watu wake
Wallahy namchukia kumfahamu najutia
Wallahy namchukia kumfahamu najutia
Leave your comment