Lyrics: Rayvanny Ft Diamond Platnumz - Nitongoze

[Image Source: Instagram]

Get Free Music Updates and Mixes on Telegram

Weka shida chini glas juu tujipongeze

Husijali wanafiki wambea chapa mziki

Wote tucheze

Hehe Vanny Boy (Chui)

Platnumz (S2kizzy baby)

 

Rayvanny

Maswali mengi kwa waiter hauna hela nini (Eti)

Iyo shingapi hii shingapi hauna hela nini (Eti)

Maswali mengi kwa waiter hauna hela nini (Eti)

Ile shingapi hii shingapi hauna hela nini

Nimeachwa sitaki tena maswali

Naenda beach kula upepo wa bahari

Naumwagilia moyo mziki kwa mbali

Jimbo likowazi sema nitakubali

 

Diamond Platnumz

Ati unanitaka

Eti unanipenda (basi nitongoze)

Unanitaka

Eti unanipenda (basi nitongoze)

Unanitaka

Eti unanipenda (basi nitongoze)

Unanitaka

Eti unanipenda (basi nitongoze)

Eh bwana we

 

(Both)

Hela ya kodi nainywea pombe

Baba mwenye nyumba akileta fyoko

Natia makonde

Na kama hayanogi mapenzi husikonde

Akiringa akwende chukua mwengine sio kinyonge

 

Yuko wapiii yuko wapi huyo

(Basi nitongoze)

Yuko wapii yuko wapi huyo

(Basi nitongoze)

Yuko wapii yuko wapi huyo

(Basi nitongoze)

Yuko wapiii yuko wapi huyo

(Basi nitongoze)

 

Nimeachwa sitaki tena maswali

Naenda beach kula upepo wa bahari

Naumwagilia moyo mziki kwa mbali

Jimbo liko wazi sema nitakubali

 

Ati unanitaka

Eti unanipenda (basi nitongoze)

Unanitaka

Eti unanipenda (basi nitongoze)

Unanitaka

Eti unanipenda (basi nitongoze)

Unanitaka

Eti unanipenda (basi nitongoze)

Eeh bwana we

 

S2kizzy baby (Zombie)

Onyesha boxer, Tuone boxer

Nyanyua shati ingia kati tuone boxer

Onyesha boxer, Tuone boxer

Nyanyua shati ingia kati tuone boxer

https://www.youtube.com/watch?v=e19CeM3H9ZM

Leave your comment