Lyrics: Ommy Dimpoz - Moyo

[Image Source: Instagram]

Get Free Music Updates and Mixes on Telegram

Lele lelele

Lololo

Oh lalalaa

Lelelele

Lololo

 

Sikia sikia aah sikia moyo

Jishike tabia

Tulia tulia wee tulia moyo

Jichunge tabia

Mi nilidhani kazi kusukuma damu

Sasa naona mauzauza mambo tofauti

Chakwangu kidogo huridhiki nacho

Unapenda vikubwa

Utaniponza moyo,moyo

Vitamu vinono kutolea macho

Utaniponza moyo

Wee moyo,moyo,moyo moyo

Lele lelele

Lololo

Oh lalalaa

Lelelele

Lololo

 

Sikia sikia aah sikia moyo

Jishike tabia

Tulia tulia wee tulia moyo

Jichunge tabia

Mi nilidhani kazi kusukuma damu

Sasa naona mauzauza mambo tofauti

Chakwangu kidogo huridhiki nacho

Unapenda vikubwa

Utaniponza moyo,moyo

Vitamu vinono kutolea macho

Utaniponza moyo

Wee moyo,moyo,moyo moyo

 

Wengine umefanya wamepotelea jela

Sababu yako moyo,moyo,moyo

Na Wengine wameshindwa wakasaliti zao ndoa

Sababu yako moyo

 

Moyo wangu mie

Moyo

Punguza Tamaa

Moyo

Jifunze kuvumilia

Moyo

Utaniumiza

Moyo wangu mie

Moyo

Kuna kitu unatamaa

Moyo

Jifunze kutulia

Moyo

Unataka nipeleka wapi wooo wowo

Unataka kushindana na Dunia

Oooh na Dunia

Usifate ya mitandao kila mutu tajiri

Vingine fumbia macho

Usitazame muke wa mutu huyo

Ridhika ukipatacho

Tamaa zako zitaniponza moyo

 

Wengine umefanya wamepotelea jela

Sababu yako moyo,moyo,moyo

Na Wengine wameshindwa wakasaliti zao ndoa

Sababu yako moyo

 

Moyo wangu mie

Moyo

Punguza Tamaa

Moyo

Jifunze kuvumilia

Moyo

Utaniumiza

Moyo wangu mie

Moyo

Kuna kitu unatamaa

Moyo

Jifunze kutulia

Moyo

Unataka nipeleka wapi wooo wowo

https://www.youtube.com/watch?v=ZqnVEssVkQA

Leave your comment