Lyrics: Ommy Dimpoz- Birthday

[Image Source: Instagram]

Get Free Music Updates and Mixes on Telegram

Ah hmmm

Leo ni siku nzuri umetimiza miaka kadhaa

Ashukuriwe Rabana na wazazi waliokuzaa

Furaha imeshamili umependeza sana umeng’aa

Siku yako imefana Maisha marefu mema

Habity wangu wee ndio kipenzi changu

Leo ni siku yako laazizi wa moyo

Uvungu wangu mtunza siri zangu

Waubani wangu haujajaaliwa choyo

 

Happy Birthday to you, to you

Happy Birthday to you, to you

Happy Birthday to you, to you

Happy Birthday to you, to you

 

Mungu akuzidishie amani, mpenzi wangu wee

Kamwe sitakushusha thamani, habity wangu wee

Laaziz waubani wa mwandani, nuru yangu wee

Yaani kama umeletwa duniani, kwaajili yangu wee

 

Habity wangu wee ndio kipenzi changu

Leo ni siku yako laazizi wa moyo

Uvungu wangu mtunza siri zangu

Waubani wangu haujajaaliwa choyo

 

Happy Birthday to you, to you

Happy Birthday to you, to you

Happy Birthday to you, to you

Happy Birthday to you, to you

 

Basi tukate cake

kata kata

Lolo lololo

Kata kata

Ahhhh

Ale tuimbe sote, imba imba imba imba

Lolo lololo

Twendeni kati tujumuike tucheze

Cheza cheza

Lolo lololo

Cheza cheza

Ahhhh

https://www.youtube.com/watch?v=gHpL4tbnhZo

Leave your comment