Lyrics: Alikiba - Tile

[Picha: Instagram]

Bonyeza Hapa kusubscribe na Kupakua DJ Mixes Maalum

Nilisimama kwa mbali tile nikaona hutanikumbuka

Vile nilivyobadilika aaah nitakuabishaaaaa

Nilivyokuwa mwanzo nawe ukanitafuta pesa nyingi

Nilishika aaah leo nadhalilika

Ni miaka mingi hata ukinitathmini hali yangu si thamani inaonesha

Sinalo tena walinitenda si vyema leo hata pakushika aaah sina

Hata Musa aliomba sana akamvusha bahari Tile

Hata mimi niliomba sana Mola nikutane na weee tena tile

Tilee ee heee ee ohh Tile Oooooh niokoe natapatapa

Ooooh Tile yooo Tile mahela Tile Oooh

Usiniogope Tile, Tile mi ni mpole sana

Hata kipindi tuna raha unalala nikikuimbia

Eti Simba sifa simba analiwa Simba anafugwa Tile

Simba anazaa bado anazaliwa Simba

Nimekumiss sana toka tumeachana

Mpaka nimepungua Tile kwa kufikiria

Sasa Tema mate (tema mate) ya nyuma yapite

Tukate utepe na tuanze upya tena

Ila hata Musa aliomba sana akamvusha bahari Tile

Hata mimi niliomba sana Mola nikutane na weee tena tile

Tilee ee heee ee ohh Tile Oooooh niokoe natapatapa

Ooooh Tile yooo Tile mahela Tile Oooh

https://www.youtube.com/watch?v=miGzPizbDFw

Leave your comment