Lyrics: Ruby- Tai Chi
27 September 2022
[Picha: Instagram]
Bonyeza Hapa kusubscribe na Kupakua DJ Mixes Maalum
[Verse 1]
Nguo kaishona wanajuta waliofumua leo
Mungu kaniona kanijibu zangu dua
Penzi mbaazi nakula huku najilamba aah kaniunga
Huku najigamba samaki nampara magamba
Kula mbakishie baba sibakishi mi navimaliza
Na kama tonge likinikwama yeye ndo maji ananituliza
Nikitaka za Tai chi (Sawaaah) hajapigiwa anacheza,
Mwali nina degree (Ayaaah) Tui sitemi nameza
[Chorus]
Baby hii ndo style gaani (Ooooooh Tai Chi)
Mbona umeganda hewani (Ooooooh Tai Chi)
Vurugu kwakwaru kama nyani (Ooooooh Tai Chi)
Kwani mwalimu wako nani (Ooooooh Tai Chi)
[Verse 2]
Kanipa yote nidambue dambu udambu nirumbue, kaniruhusu niamue
Nitake NIni nichague nifunike unifunue nibandike unibandue eeeh
Kula mbakishie baba sibakishi mi navimaliza
Na kama tonge likinikwama yeye ndo maji ananituliza
Nikitaka za Tai chi (Sawaaah) hajapigiwa anacheza,
Mwali nina degree (Ayaaah) Tui sitemi nameza
Baby hii ndo style gaani (Ooooooh Tai Chi
Mbona umeganda hewani (Ooooh Tai Chi)
Vurugu kwakwaru kama nyani (Ooooooh Tai Chi)
Kwani mwalimu wako nani (Ooooooh Tai Chi)
Leave your comment