Lyrics: Ruby- Tai Chi

[Picha: Instagram]

Bonyeza Hapa kusubscribe na Kupakua DJ Mixes Maalum

[Verse 1]

Nguo kaishona wanajuta waliofumua leo

Mungu kaniona kanijibu zangu dua

Penzi mbaazi nakula huku najilamba aah kaniunga

Huku najigamba samaki nampara magamba

Kula mbakishie baba sibakishi mi navimaliza

Na kama tonge likinikwama yeye ndo maji ananituliza

Nikitaka za Tai chi (Sawaaah) hajapigiwa anacheza,

Mwali nina degree (Ayaaah) Tui sitemi nameza

 

[Chorus]

Baby hii ndo style gaani (Ooooooh Tai Chi)

Mbona umeganda hewani (Ooooooh Tai Chi)

Vurugu kwakwaru kama nyani (Ooooooh Tai Chi)

Kwani mwalimu wako nani (Ooooooh Tai Chi)

 

[Verse 2]

Kanipa yote nidambue dambu udambu nirumbue, kaniruhusu niamue

Nitake NIni nichague nifunike unifunue nibandike unibandue eeeh

Kula mbakishie baba sibakishi mi navimaliza

Na kama tonge likinikwama yeye ndo maji ananituliza

Nikitaka za Tai chi (Sawaaah) hajapigiwa anacheza,

Mwali nina degree (Ayaaah) Tui sitemi nameza

 

Baby hii ndo style gaani (Ooooooh Tai Chi

Mbona umeganda hewani (Ooooh Tai Chi)

Vurugu kwakwaru kama nyani (Ooooooh Tai Chi)

Kwani mwalimu wako nani (Ooooooh Tai Chi)

https://www.youtube.com/watch?v=blXzwRUurBA

Leave your comment