Lyrics: Nadia Mukami Ft Arrow Bwoy - Kai Wangu

[Image Source: Instagram]

Click HERE to Subscribe and Download Exclusive DJ Mixes

[Verse 1]

Mtoto anafanana na nani?

Je ana macho kama Nadia Mukami?

Atapenda gym kama baba yake Ali?

Ndo maswali najiuliza tu kichwani

Niliposikia nakupata

Nililia machozi ya furaha (ya furaha)

Ingawa sikuwa ready kukupata

Sina budi sasa kuitwa mama

Ila usijali wee

[Pre-Chorus]

Mama yako mchapa kazi sana

Baba yako ana roho safi sana

Wazazi wako wote maarufu sana

Baby wangu wee, utatesa sana aah

 

[Chorus]

Namwita jina Kai, Kai, Kai

Kai wangu weweee (Kai, Kai, Kai)

Namwita jina Kai, Kai, Kai (Kai, Kai, Kai)

Kai wangu wewee

Kai Kai Kai yo yo yoo (Kai, Kai)

Kai Kai Kai yo yo yoo (Kai, Kai)

Kai Kai Kai yo yo yoo (Kai Kai)

Kai, Kai, Kaiii (oh nah nah nah)

Kaiii, Kaiiii, oh no no uuh, aiyayaa

 

[Verse 2]

I am the one to hold you baby

Ju tumekungoja sana

Toto nakuombea daily

Mungu akuepushe na mabaya

Eh hata dunia ikugeuke baby

Sitakuwacha solo

Nitakulinda wee wee wee

Baby sitakuacha solo, uuuh

 

[Pre-Chorus]

Mama yako ni mchapa kazi sana

Na baba yako nina roho safi sana

Wazazi wako wote maarufu sana

Kai wewe, utatesa sana (sanaa)

[Chorus]

Namwita jina Kai, Kai, Kai

Kai wangu weweee (Kai, Kai, Kai)

Namwita jina Kai, Kai, Kai (Kai, Kai, Kai)

Kai wangu wewee

Kai Kai Kai yo yo yoo (Kai, Kai)

Kai Kai Kai yo yo yoo (Kai, Kai)

Kai Kai Kai yo yo yoo (Kai, Kai)

Kai Kai Kai yo yo (Kai, Kai)

Aah, Kai Kai Kai yo yo

Kai, Kai, Kai, yo yo

Ooh Kai, Kai, Kai yo yo yo

Nakupenda sana

Nitakutunza sana

Kai, Kai, Kai, yo

Kai, Kai, Kai yo yo yo

Leave your comment