Lyrics: Harmonize - Amelowa

[Picha:Youtube]

Bonyeza Hapa kusubscribe na Kupakua DJ Mixes Maalum

Yaw Yaw

Hiyo miinamo huko nyuma yaliyomo yamo eeeh

Binti wa makamo come closer na give me some more

Kama tunda lilimshinda Adamu akashindwa kuvumilia

Sa kwanini tuitane binamu na nyongo itatumbukia

Ulimi ukipitiliza kunanimaliza mwenzako bado najiuliza

Hivi ni kweli ama tunaigiza

 

Moyo umezama kwake bila yeye siwezi toboa

Mi ndo fundi wa raha zake natwanga nakukoboa

Alinikumbatia mkono wa kushoto kwenye gia

Zikanipanda hisia na nilipochuchumia maji yakatoka

 

Amelowa, amelowa amelowa na mvua,

 Amelowa amelowa, amenyeshewa na mvua,

Mtoto amelowa amelowa amelowa na mvua

Amelowa amelowa amenyeshewa na mvua

 

Pata Habari za Muziki na Mixtapes Kwenye Telegram

 

Uuuh aaah ameniweka kwenye chupa ndo maana natamba,

Uuuuh aaah kwenye papara pupa nawona washamba

Jeupega mwanao wenye kwilejakuloa jejikukila mwanau

liduvalipapa ukakaukyilamba, liduvalipamba ukakaukakyilamba

 

Moyo umezama kwake bila yeye siwezi toboa

Mi ndo fundi wa raha zake natwanga nakukoboa

Alinikumbatia mkono wa kushoto kwenye gia zikanipanda hisia

Na nilipochuchumia maji yakatoka

 

Amelowa, amelowa amelowa na mvua, amelowa amelowa amenyeshewa na mvua

Mtoto amelowa amelowa amelowa na mvua amelowa amelowa amenyeshewa na mvua

 

Ameniweka kwenye chupa ndo maana natamba

Kwenye papara pupa nawona washamba

Alinikumbatia mkono wa kushoto kwenye gia zikanipanda hisia

Na nilipochuchumia maji yakatoka amelowa

https://www.youtube.com/watch?v=tovgSdI-zS0

Leave your comment