WCB’S Zuchu Recognised by President Magufuli during National Address

By Omondi Otieno

Follow Us on Google News

Tanzanian President John Pombe Magufuli has thanked all artistes that have composed praise songs for him ahead of the general election later this year.

In a video shared by Diamond, President Magufuli hailed Zuchu for her patriotic song ‘Tanzania ya Sasa’, adding that he loves and listen to her music.

“Wimbo zenu ninazidhamini sana, ninazipenda, ninaziheshimu, ninawashukuru sana kwa burudani zote hizo ambazo mumeimba mpaka hata za Zuchu mimi nazisikiliza,” he said.

In the other sections of the video, Magufuli is seen riding on a train while the song plays on the background.

Reacting to the recognition, Zuchu thanked the president for his good leadership and for the opportunity to perform at his event.

“Hakika Mungu ametupa raisi wa watu wote ,Rais anaejali maendeleo lakini pia anaetupa sapoti vijana wake kwenye kila Tasnia.Mheshimiwa Rais wangu Ninajiona mwenye bahati hata tu kueza kunijua sio jambo dogo kwa binti kama mimi ambae ndo kwanza nimeanza tasnia ya mziki.Asante sana mheshimiwa.Pia nashukuru sana na mimi kupata bahati ya kutumbuiza mbele yako nasema Asante asante sana.Mungu ibariki Tanzania, Mungu  mbariki raisi wetu amen,” she posted.

On his part, Diamond said “Kwanza kabisa Tunashkuru kwa Maendeleo Makubwa unayozidi kutuletea kila siku....lakini pia tunashkuru kwa kuendelea kuthamini wananchi wako kwa kila sekata na kila hali....Wewe ni Raisi wa Kipekee.”

Leave your comment