Zari Hits Out at Diamond over Plan to Help Others while Reportedly Ignoring his Own Children
28 April 2020

By Branice Nafula
Diamond Platnumz ex-wife Zari Hassan has hit out at the Wasafi records founder over his plan to pay rent for 500 families affected by the COVID-19 pandemic.
In a post on her social media pages, Zari claimed Diamond was a clown trying to please the world yet he is unaware of the status of his children.
“……but you don’t know what your kids eat, or how they sleep, if fees and medical insurance is paid. You will never please the world when your own are not happy and taken care of. Your selling a lie. Some people have become clowns to some of us,” she said.

Speaking during an interview at Wasafi FM, Diamond said he called Zari after seeing the post and the two agreed to meet after Corona issues and sort welfare of the children.
“Tulikuwa hatuzungumzi kwa hivyo nilipoona ule ujumbe nikamtext, kiukweli tulikuwa hatujawahi kuongea tumeanza kuongea jana maananilikuwa nimepanic niliandika bongee la caption lakini viongozi wakanizuia, tumezungumza vizuri na namshukuru Mungu pengine baada ya corona swala letu la malezi ya watoto wetu yatakuwa yamekaa sawa,”he said.
Download Diamond Music for Free on Mdundo
Earlier on, Diamond had put out a post indicating that despite being affected by the corona pandemic, he will pay rent for 500 families, for a period of 3 months.
“Najua katika kipindi hiki cha Corona, mambo mengi hayajakaa sawa, hususan upande wa biashara....nyingi zimeshuka na kupelekea hali ya kifedha kuyumba na mambo kuwa kidogo Magumu kwa wengi wetu...ijapokuwa na mimi ni Miongoni mwa walio ndani ya janga hili, lakini nimeona walau kwa kidogo changu nilicho nacho, nitoe kusaidia kulipia kodi za Nyumba kwa miezi Mitatu mitatu kwa familia 500, walau kusaidiana Katika kipindi hiki kigumu cha kupambana na Virusi hivi vya Corona...Licha ya kuwa Tiafa moja lakini siku zote mmekuwa Familia yangu kupitia Muziki wangu, hivyo naamini Shida yenu ni yangu, na Tabasamu lenu ni Langu pia....Jumatatu nitaweka rasmi Utaratibu wote wa namna gani Familia Hizi Miatano zinaweza kupata kodi hizo ya Nyumba...” Diamond’s message read in part.




Leave your comment