Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
Ommy Dimpoz Aeleza Alivyokata Tamaa ya Kuishi
6 February 2019
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz amebainisha kuwa alipokuwa kwenye matibabu nchini Ujerumani alikata tamaa na kudhani angepoteza maisha baada ya kusumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu.
Ommy Dimpoz amekuwa akisumbuliwa na maradhi ya koo kwa muda mrefu baada ya kusemekana kula chakula chenye sumu, hali ambayo ilimfanya afanyiwe upasuaji Afrika Kusini.
"Nilifanyiwa operesheni kwa masaa manane, na nilipofika Ujerumani nilifanyiwa upasuaji na madaktari wa kijerumani wengi zaidi ukilinganisha na Afrika Kusini", amesema.
Weekly Top 10 songs

chile-one-so-lucky4:02
Trust No One3:13
Kamwambie3:47
Joy Is Coming3:08
Buwooma2:44
Msaliti 11:25
Udede Ft Msomali x Malume & Samas Alifata Hela Remix6:34
Leo3:39
Siwezani na wewe2:43
Paver2:55


Leave your comment