Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
Ommy Dimpoz Aeleza Alivyokata Tamaa ya Kuishi
6 February 2019
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz amebainisha kuwa alipokuwa kwenye matibabu nchini Ujerumani alikata tamaa na kudhani angepoteza maisha baada ya kusumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu.
Ommy Dimpoz amekuwa akisumbuliwa na maradhi ya koo kwa muda mrefu baada ya kusemekana kula chakula chenye sumu, hali ambayo ilimfanya afanyiwe upasuaji Afrika Kusini.
"Nilifanyiwa operesheni kwa masaa manane, na nilipofika Ujerumani nilifanyiwa upasuaji na madaktari wa kijerumani wengi zaidi ukilinganisha na Afrika Kusini", amesema.
Weekly Top 10 songs

Hatuachani8:47
Every push.2:01
Blessings Flow2:26
Daddy2:50
ONLY YOU JESUS5:44
Nigina2:27
Boom party3:47
Bend and pouse2:54
Blessed & Alive4:06
Temutuloga3:00


Leave your comment