Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
Rayvanny Atoa Wito Kwa Wasanii ‘Kidogo Tunachopata, Tusaidie Ndugu Zetu Wenye Magonjwa’
31 October 2018

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva kutoka WCB, Rayvanny amewataka Watanzania wenye uwezo kwajitoe japo kidogo kuwasaidia wagonjwa wanaosumbuliwa na maradhi mbalimbali Hospitalini.
Rayvanny amesema hayo, baada ya jana kutembelea katika Hospitali ya Muhimbili kumjulia hali mama aliyekuwa anasumbuliwa na jicho kutoka Mbeya, ambaye wiki iliyopita video zake zilisambaa mtandaoni zikimuonesha akiomba msaada wa matibabu.
Rayvanny ndiye aliyeanza kutoa taarifa za mama huyo aliyekuwa anasumbuliwa na jicho na tayari ameshapatiwa matibabu siku ya jana.
This article was originally published by bongo5.com
Weekly Top 10 songs

Trust No One3:13
chile-one-so-lucky4:02
Kamwambie3:47
Joy Is Coming3:08
Buwooma2:44
Udede Ft Msomali x Malume & Samas Alifata Hela Remix6:34
Msaliti 11:25
Leo3:39
Maringo4:00
NANI ft. Kamanda Pedeshee3:56
Top stories
- The Marathon
25 April


Leave your comment