Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Ommy Dimpoz Atoa Ujumbe Mzito Siku Yake Ya Kuzaliwa ‘Tusiishi Kwa Chuki na Uadui’
13 September 2018

Alhamisi hii 13th September ni siku ya kuzaliwa ya mwanamuziki Ommy Dimpoz ambaye anafanya vizuri katika tasnia ya muziki nchini Tanzania.
Muimbaji huyo ambaye upo chini ya RockStar 40000, ameitumia siku yake hiyo kuandika ujumbe mzito kuhusu alichopitia kwenye maisha yake baada ya kupata matatizo katika mfuno wake wa kumeza chakula na kusababisha kufanyiwa upasuaji mkubwa nchini Afrika Kusini.
Read more here: http://bongo5.com/ommy-dimpoz-atoa-ujumbe-mzito-siku-yake-ya-kuzaliwa-tusiishi-kwa-chuki-na-uadui-09-2018/
Weekly Top 10 songs

In My Bed2:50
KAPEKE LONDON2:23
BIkola2:58
Buwooma2:44
Baddie remix feat Shannnon, aaronix, Tojo3:14
Paver2:55
Nitampeleka kwa Mama (ft. Xouh)3:44
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
CHAMPION GAL3:00
Kamwambie3:47
Top stories
- UPCOMING EP FROM EMKAY64
14 May
- Daniel Sifuna
14 May
- Generation
16 May
- NEW SONG ALERT
16 May


Leave your comment