Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Ommy Dimpoz Atoa Ujumbe Mzito Siku Yake Ya Kuzaliwa ‘Tusiishi Kwa Chuki na Uadui’
13 September 2018

Alhamisi hii 13th September ni siku ya kuzaliwa ya mwanamuziki Ommy Dimpoz ambaye anafanya vizuri katika tasnia ya muziki nchini Tanzania.
Muimbaji huyo ambaye upo chini ya RockStar 40000, ameitumia siku yake hiyo kuandika ujumbe mzito kuhusu alichopitia kwenye maisha yake baada ya kupata matatizo katika mfuno wake wa kumeza chakula na kusababisha kufanyiwa upasuaji mkubwa nchini Afrika Kusini.
Read more here: http://bongo5.com/ommy-dimpoz-atoa-ujumbe-mzito-siku-yake-ya-kuzaliwa-tusiishi-kwa-chuki-na-uadui-09-2018/
Weekly Top 10 songs

Hatuachani8:47
Every push.2:01
Blessings Flow2:26
PENDEZESHA0:35
Daddy2:50
Bend and pouse2:54
Kisirani0:39
Boom party3:47
Nigina2:27
ONLY YOU JESUS5:44
Top stories
- Yopa freestyle
14 August
- Oxene Quiles feat kane gee
15 August
- Morning guys
16 August
- My baby
14 August


Leave your comment