Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Ommy Dimpoz Atoa Ujumbe Mzito Siku Yake Ya Kuzaliwa ‘Tusiishi Kwa Chuki na Uadui’
13 September 2018

Alhamisi hii 13th September ni siku ya kuzaliwa ya mwanamuziki Ommy Dimpoz ambaye anafanya vizuri katika tasnia ya muziki nchini Tanzania.
Muimbaji huyo ambaye upo chini ya RockStar 40000, ameitumia siku yake hiyo kuandika ujumbe mzito kuhusu alichopitia kwenye maisha yake baada ya kupata matatizo katika mfuno wake wa kumeza chakula na kusababisha kufanyiwa upasuaji mkubwa nchini Afrika Kusini.
Read more here: http://bongo5.com/ommy-dimpoz-atoa-ujumbe-mzito-siku-yake-ya-kuzaliwa-tusiishi-kwa-chuki-na-uadui-09-2018/
Weekly Top 10 songs

Trust No One3:13
chile-one-so-lucky4:02
Kamwambie3:47
Joy Is Coming3:08
Buwooma2:44
Udede Ft Msomali x Malume & Samas Alifata Hela Remix6:34
Msaliti 11:25
Leo3:39
Maringo4:00
NANI ft. Kamanda Pedeshee3:56
Top stories
- The Marathon
25 April


Leave your comment