Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Album Ya Fid Q “Kitaaolojia” Ipo Sokoni Tayari
15 August 2018

Rapper Fid Q ametangaza rasmi kuwa Album yake ya ‘Kitaaolojia’ iliyokuwa ikisubiriwa kwa muda mrefu ipo sokoni tayari na watu wanaweza kuipakua kwa kusikiliza ngoma ambazo zipo ndani ya Album hiyo.
Kupitia ukurasa wa instagram wa Fid Q ametangaza kwa mashabiki wake kuhusiana na Album hiyo ingawa hajataja idadi ya ngoma ambazo zitapatikana katika album yake ya “KitaaOlojia”.
“#BreakingNews #KitaaOLOJIA ipo tayari kukufikia. Ingia hapa kwa maelezo zaidi ——> www.cheusidawa.tv”
Source: millardayo.com
Weekly Top 10 songs

Trust No One3:13
chile-one-so-lucky4:02
Kamwambie3:47
Joy Is Coming3:08
Buwooma2:44
Udede Ft Msomali x Malume & Samas Alifata Hela Remix6:34
Msaliti 11:25
Leo3:39
Maringo4:00
NANI ft. Kamanda Pedeshee3:56
Top stories
- The Marathon
25 April


Leave your comment