Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Album Ya Fid Q “Kitaaolojia” Ipo Sokoni Tayari
15 August 2018

Rapper Fid Q ametangaza rasmi kuwa Album yake ya ‘Kitaaolojia’ iliyokuwa ikisubiriwa kwa muda mrefu ipo sokoni tayari na watu wanaweza kuipakua kwa kusikiliza ngoma ambazo zipo ndani ya Album hiyo.
Kupitia ukurasa wa instagram wa Fid Q ametangaza kwa mashabiki wake kuhusiana na Album hiyo ingawa hajataja idadi ya ngoma ambazo zitapatikana katika album yake ya “KitaaOlojia”.
“#BreakingNews #KitaaOLOJIA ipo tayari kukufikia. Ingia hapa kwa maelezo zaidi ——> www.cheusidawa.tv”
Source: millardayo.com
Weekly Top 10 songs

In My Bed2:50
KAPEKE LONDON2:23
BIkola2:58
Buwooma2:44
Baddie remix feat Shannnon, aaronix, Tojo3:14
Paver2:55
Nitampeleka kwa Mama (ft. Xouh)3:44
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
CHAMPION GAL3:00
Kamwambie3:47
Top stories
- UPCOMING EP FROM EMKAY64
14 May
- Daniel Sifuna
14 May
- Generation
16 May
- NEW SONG ALERT
16 May


Leave your comment