Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Muda Wowote Kuanzia Sasa AY na Fid Q Wanaachia ‘Microphone’
9 July 2018

Muda wowote kuanzia sasa marapper wawili wenye nguvu zaidi kwenye kiwanda cha muziki wa Hip Hop nchini Tanzania, AY na Fid Q wanaachia project yao mpya ya Microphone.
AY amethibitisha hilo baada ya kuachia kionjo (Teaser) ya wimbo huo kupitia ukurasa wake wa Instagram, unaweza ukatazama kicho hicho hapa chini.
Mdundo wa ngoma hii umegongwa pale B-Hits na video imeongozwa na Destro kutoka Wanene Entertainment Films.
Source: bongo5.com
Weekly Top 10 songs

Trust No One3:13
chile-one-so-lucky4:02
Kamwambie3:47
Joy Is Coming3:08
Buwooma2:44
Udede Ft Msomali x Malume & Samas Alifata Hela Remix6:34
Msaliti 11:25
Leo3:39
Maringo4:00
NANI ft. Kamanda Pedeshee3:56
Top stories
- The Marathon
25 April


Leave your comment