Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Muda Wowote Kuanzia Sasa AY na Fid Q Wanaachia ‘Microphone’
9 July 2018

Muda wowote kuanzia sasa marapper wawili wenye nguvu zaidi kwenye kiwanda cha muziki wa Hip Hop nchini Tanzania, AY na Fid Q wanaachia project yao mpya ya Microphone.
AY amethibitisha hilo baada ya kuachia kionjo (Teaser) ya wimbo huo kupitia ukurasa wake wa Instagram, unaweza ukatazama kicho hicho hapa chini.
Mdundo wa ngoma hii umegongwa pale B-Hits na video imeongozwa na Destro kutoka Wanene Entertainment Films.
Source: bongo5.com
Weekly Top 10 songs

In My Bed2:50
KAPEKE LONDON2:23
BIkola2:58
Buwooma2:44
Baddie remix feat Shannnon, aaronix, Tojo3:14
Paver2:55
Nitampeleka kwa Mama (ft. Xouh)3:44
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
CHAMPION GAL3:00
Kamwambie3:47
Top stories
- UPCOMING EP FROM EMKAY64
14 May
- Daniel Sifuna
14 May
- Generation
16 May
- NEW SONG ALERT
16 May


Leave your comment