Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Joh Makini Ataja Kolabo Tatu Za Kimataifa Alizonazo
4 July 2018

Rapper kutokea kundi la Weusi, Joh Makini ameweka wazi idadi ya kolabo za kimataifa alizonazo kwa sasa.
Joh Makini ameeleza kuwa hadi sasa kolabo ambazo anaweza kuziweka wazi na kuzizungumzia ni tatu.
“So far International collabo ambazo naweza kuzizungumzia ambazo zipo ni mimi na Fallz, Y CEE,Cassper Nyovest ambayo watu wameisikia nipo katika kuangalia uwezekano wa kufanya ngoma nyingine naye,” Joh Makini ameiambia Bongo5.
Kwa upande wa kundi la Weusi, Joh Makini amesema tayari wamesharekodi nyimbo mbili na kundi la Sauti Soul kutokea nchini Kenya ila zimekataa muda studio hivyo wanaangalia kama wanaweza kurudia kurekodi upya ili kuweza kuendana na wakati wa sasa.
Weekly Top 10 songs

Trust No One3:13
chile-one-so-lucky4:02
Kamwambie3:47
Joy Is Coming3:08
Buwooma2:44
Udede Ft Msomali x Malume & Samas Alifata Hela Remix6:34
Msaliti 11:25
Leo3:39
Maringo4:00
NANI ft. Kamanda Pedeshee3:56
Top stories
- The Marathon
25 April


Leave your comment