Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Joh Makini Ataja Kolabo Tatu Za Kimataifa Alizonazo
4 July 2018

Rapper kutokea kundi la Weusi, Joh Makini ameweka wazi idadi ya kolabo za kimataifa alizonazo kwa sasa.
Joh Makini ameeleza kuwa hadi sasa kolabo ambazo anaweza kuziweka wazi na kuzizungumzia ni tatu.
“So far International collabo ambazo naweza kuzizungumzia ambazo zipo ni mimi na Fallz, Y CEE,Cassper Nyovest ambayo watu wameisikia nipo katika kuangalia uwezekano wa kufanya ngoma nyingine naye,” Joh Makini ameiambia Bongo5.
Kwa upande wa kundi la Weusi, Joh Makini amesema tayari wamesharekodi nyimbo mbili na kundi la Sauti Soul kutokea nchini Kenya ila zimekataa muda studio hivyo wanaangalia kama wanaweza kurudia kurekodi upya ili kuweza kuendana na wakati wa sasa.
Weekly Top 10 songs

In My Bed2:50
KAPEKE LONDON2:23
BIkola2:58
Buwooma2:44
Baddie remix feat Shannnon, aaronix, Tojo3:14
Paver2:55
Nitampeleka kwa Mama (ft. Xouh)3:44
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
CHAMPION GAL3:00
Kamwambie3:47
Top stories
- UPCOMING EP FROM EMKAY64
14 May
- Daniel Sifuna
14 May
- Generation
16 May
- NEW SONG ALERT
16 May


Leave your comment