Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: P The MC Kuja Kivingine, Albamu Mkononi
2 July 2018

Msanii wa muziki wa hip hop Bongo, P The MC amefunguka sababu za ukimya wake kimuziki.
Rapper huyo kutoka kundi la SSK ameeleza kuwa kwa sasa amekamilisha kurekodi albamu yake ambayo kazi kubwa imefanywa na producer Cjamoker ingawa kuna nyimbo zimefanyika na S2kizzy.
“Nilichukua muda kufuatilia kujifunza muziki, how to be close to my fans na ni wafanyie vitu vya aina gani ili niweze kukidhi kiu ya mahitaji yao na baada ya kushughulikia hilo nikaingia studio kusimamia albamu,” P Th MC ameiambia Bongo5.
Ameongeza kuwa kila wimbo utakao kuwa ukitoka katika albamu hiyo utakuwa ukitoka pamoja na video yake. Wimbo wa mwisho kwa P The MC kutoa rasmi unakwenda kwa jina la Mitaa Nayotoka.
Source: bongo5.com
Weekly Top 10 songs

Trust No One3:13
chile-one-so-lucky4:02
Kamwambie3:47
Joy Is Coming3:08
Buwooma2:44
Udede Ft Msomali x Malume & Samas Alifata Hela Remix6:34
Msaliti 11:25
Leo3:39
Maringo4:00
NANI ft. Kamanda Pedeshee3:56
Top stories
- The Marathon
25 April


Leave your comment