Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: P The MC Kuja Kivingine, Albamu Mkononi
2 July 2018

Msanii wa muziki wa hip hop Bongo, P The MC amefunguka sababu za ukimya wake kimuziki.
Rapper huyo kutoka kundi la SSK ameeleza kuwa kwa sasa amekamilisha kurekodi albamu yake ambayo kazi kubwa imefanywa na producer Cjamoker ingawa kuna nyimbo zimefanyika na S2kizzy.
“Nilichukua muda kufuatilia kujifunza muziki, how to be close to my fans na ni wafanyie vitu vya aina gani ili niweze kukidhi kiu ya mahitaji yao na baada ya kushughulikia hilo nikaingia studio kusimamia albamu,” P Th MC ameiambia Bongo5.
Ameongeza kuwa kila wimbo utakao kuwa ukitoka katika albamu hiyo utakuwa ukitoka pamoja na video yake. Wimbo wa mwisho kwa P The MC kutoa rasmi unakwenda kwa jina la Mitaa Nayotoka.
Source: bongo5.com
Weekly Top 10 songs

In My Bed2:50
KAPEKE LONDON2:23
BIkola2:58
Buwooma2:44
Baddie remix feat Shannnon, aaronix, Tojo3:14
Paver2:55
Nitampeleka kwa Mama (ft. Xouh)3:44
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
CHAMPION GAL3:00
Kamwambie3:47
Top stories
- UPCOMING EP FROM EMKAY64
14 May
- Daniel Sifuna
14 May
- Generation
16 May
- NEW SONG ALERT
16 May


Leave your comment