Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Navy Kenzo Waweka Wazi Mipango ya Kufunga Ndoa
19 June 2018

Wasanii Nahreel na Aika wanaounda kundi la Navy Kenzo ambao pia ni wapenzi wamefunguka kuhusu mipango ya kufunga ndoa.
Nahreel ambaye ni producer pia katika mahojiano na FNL ya EATV alieleza kuwa muunganiko wao kama wapenzi ni muhimu zaidi kwa sasa kabla ya ndoa.
“Mimi na Aika nadhani the bond ni special, wedding ni important kufanyika katika maisha lakini Bond yangu na Aika is very special,” alisema Nahreel.
Kwa upande wake Aika alieleza kuwa; ‘Na tusiwafundishe watu wengine kuwa walazimishe kuingia kwenye ndoa kabla mtu hajawa tayari kuwa na ile bond, ni muhimu sana’.
Navy Kenzo ambao wanatamba na ngoma yao mpya inayokwenda kwa jina la Fella, katika mahusiano yao ambayo yamedumu kwa takribani miaka 10 sasa wamejaliwa kupata mtoto mmoja wa kiume.
Source: bongo5.com
Weekly Top 10 songs

Trust No One3:13
chile-one-so-lucky4:02
Kamwambie3:47
Joy Is Coming3:08
Buwooma2:44
Udede Ft Msomali x Malume & Samas Alifata Hela Remix6:34
Msaliti 11:25
Leo3:39
Maringo4:00
NANI ft. Kamanda Pedeshee3:56
Top stories
- The Marathon
25 April
- Who Is Bad Beric
24 April


Leave your comment