Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Navy Kenzo Waweka Wazi Mipango ya Kufunga Ndoa
19 June 2018

Wasanii Nahreel na Aika wanaounda kundi la Navy Kenzo ambao pia ni wapenzi wamefunguka kuhusu mipango ya kufunga ndoa.
Nahreel ambaye ni producer pia katika mahojiano na FNL ya EATV alieleza kuwa muunganiko wao kama wapenzi ni muhimu zaidi kwa sasa kabla ya ndoa.
“Mimi na Aika nadhani the bond ni special, wedding ni important kufanyika katika maisha lakini Bond yangu na Aika is very special,” alisema Nahreel.
Kwa upande wake Aika alieleza kuwa; ‘Na tusiwafundishe watu wengine kuwa walazimishe kuingia kwenye ndoa kabla mtu hajawa tayari kuwa na ile bond, ni muhimu sana’.
Navy Kenzo ambao wanatamba na ngoma yao mpya inayokwenda kwa jina la Fella, katika mahusiano yao ambayo yamedumu kwa takribani miaka 10 sasa wamejaliwa kupata mtoto mmoja wa kiume.
Source: bongo5.com
Weekly Top 10 songs

In My Bed2:50
KAPEKE LONDON2:23
BIkola2:58
Buwooma2:44
Baddie remix feat Shannnon, aaronix, Tojo3:14
Paver2:55
Nitampeleka kwa Mama (ft. Xouh)3:44
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
CHAMPION GAL3:00
Kamwambie3:47
Top stories
- UPCOMING EP FROM EMKAY64
14 May
- Daniel Sifuna
14 May
- Generation
16 May
- NEW SONG ALERT
16 May


Leave your comment