Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Chege Apata Mtoto
12 March 2018

Msanii wa muziki Bongo, Chege amefanikiwa kupata mtoto na mpenzi wake. Msanii huyo anayehit na ngoma yake mpya ya ‘Kaitaba’ aliyomshirikisha Saida Karoli, ametuma ukurasa wa mtandao wa kijamii wa Instagram kutoa taarifa za kupata mtoto aitwaye Jadah.
Mwishoni mwezi wa pili msanii huyo aliweka wazi kuwa ana mpenzi na wanaishi wote ila kuhusu kuoa yeye atakuwa wa mwisho kuoa.
Source: bongo5.com
Weekly Top 10 songs

BIkola2:58
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Buwooma2:44
Baddie remix feat Shannnon, aaronix, Tojo3:14
Paver2:55
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
CHAMPION GAL3:00
Nitampeleka kwa Mama (ft. Xouh)3:44
Joy Is Coming3:08
Top stories
- Daniel Sifuna
14 May
- NEW SONG ALERT
16 May
- Generation
16 May
- 2 new songs are out
15 May


Leave your comment