Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
UGANDA: “Nimefanya Wimbo na Radio, Tulikuwa Tunajiandaa Kushoot Video” - Vanessa Mdee
6 February 2018

Mwimbaji Staa wa Bongofleva Vanessa Mdee ambaye kwa sasa yupo nchini Nigeria katika ziara yake ya kimuziki kwa ajili ya kutambulisha album yake ya Money Mondays amemzungumzia marehemu Radio ambaye hivi karibuni alipost picha wakiwa pamoja kumbe ilikuwa ni ishu ya wimbo walioufanya.
Vanessa amesema kuwa walikuwa kwenye mipango ya kushoot video ya wimbo huo na walikuwa wanamawasiliano mpaka alipopata ajali.
Pia ameeleza jinsi alivyopokea taarifa za msiba kwa mshtuko kwani mara ya mwisho aliwasiliana na Weasel kupitia simu ya Radio kipindi akiwa amelazwa na alipanga kwenda kumuona kipindi akirudi kutoka Lagos Nigeria lakini ndipo ikatokea amefariki.
Source: millardayo.com
Weekly Top 10 songs

BIkola2:58
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Buwooma2:44
Baddie remix feat Shannnon, aaronix, Tojo3:14
Paver2:55
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
CHAMPION GAL3:00
Nitampeleka kwa Mama (ft. Xouh)3:44
Joy Is Coming3:08
Top stories
- NEW SONG ALERT
16 May
- Daniel Sifuna
14 May
- Generation
16 May
- 2 new songs are out
15 May


Leave your comment