Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
UGANDA: “Nimefanya Wimbo na Radio, Tulikuwa Tunajiandaa Kushoot Video” - Vanessa Mdee
6 February 2018

Mwimbaji Staa wa Bongofleva Vanessa Mdee ambaye kwa sasa yupo nchini Nigeria katika ziara yake ya kimuziki kwa ajili ya kutambulisha album yake ya Money Mondays amemzungumzia marehemu Radio ambaye hivi karibuni alipost picha wakiwa pamoja kumbe ilikuwa ni ishu ya wimbo walioufanya.
Vanessa amesema kuwa walikuwa kwenye mipango ya kushoot video ya wimbo huo na walikuwa wanamawasiliano mpaka alipopata ajali.
Pia ameeleza jinsi alivyopokea taarifa za msiba kwa mshtuko kwani mara ya mwisho aliwasiliana na Weasel kupitia simu ya Radio kipindi akiwa amelazwa na alipanga kwenda kumuona kipindi akirudi kutoka Lagos Nigeria lakini ndipo ikatokea amefariki.
Source: millardayo.com
Weekly Top 10 songs
Top stories
- The Marathon
25 April
- TRUE LOVE
26 April
- O Daynor pisom 03 casou
24 April
- HOWE WOU KUMA
25 April




Leave your comment