Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Izzo Bizness Kufuata Nyayo za Navy Kenzo
18 August 2017

Baada ya Navy Kenzo kudondosha albamu yao mapema mwaka huu, rapper Izzo Bizness ameamua kufuata nyayo hizo.
Rapper huyo ambaye kwa sasa nafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Rafiki’, kupitia mtandao wa Instagram amethibitisha kuachia albamu yake mpya mwaka huu.
“Workin on my ALBUM it’s gonna be out this year,” ameandika Izzo kwenye mtandao huo.
Wasanii wengine ambao waliahidi kuachia albamu mwaka huu ni pamoja na Diamond, Vanessa Mdee, Fid Q, Roma na Stamina na wengine.
Source: bongo5.com
Weekly Top 10 songs

KAPEKE LONDON2:23
BIkola2:58
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
In My Bed2:50
CHAMPION GAL3:00
Buwooma2:44
Baddie remix feat Shannnon, aaronix, Tojo3:14
Paver2:55
Joy Is Coming3:08
Nitampeleka kwa Mama (ft. Xouh)3:44


Leave your comment