Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
NEW MUSIC (TANZANIA): Rosa Ree & Navy Kenzo – Mchaga
26 July 2017

Female Rapper ambaye anatisha kwa sasa Bongo, Rose Ree kutoka label ya The Industry ameachia ngoma mpya ‘Mchaga’ ambayo amewashirikisha Navy Kenzo, prodyuza wa ngoma hii ni Nahreel. Hii inakuwa kolabo ya pili kwa Rosa Ree baada ya remix ya ngoma ya One Time aliyompa shavu Khaligraph Jones kutoka nchini Kenya.
Source: bongo5.com
Weekly Top 10 songs
Top stories
- JORO STARR ft. APPY- LOVE ME AGAIN
01 September
- Money is a new song in the album “ Black Maria “
02 September
- GOD BLESS
01 September
- JORO STARR ft. ANGEL NYIGU -- LIFT ME UP
01 September





Leave your comment