TANZANIA: Vanessa Mdee Aonyesha Picha ya Mamake Akiwa Msichana Mdogo

Muimbaji wa Tanzania Vanessa Mdee ameacha mashabiki wake wakimfananisha na mamake baada ya kupost picha ya kitambo ya mamake mzazi.

Kupitia mtandao wake wa kijamii Vanessa Mdee alipost picha hiyo huku akumsifu mamake kwa urembo aliowapa watoto wake (Vanessa na madada zake). Aliandika caption kusema:

Hi Mommy Circa 1976 #MothersDay is everyday #SophiasDaughter #ChokerAndAll

Ata hivyo pia aliweza kuajulisha mashabiki wake jina la mamake na kwa mara ya kwanza muimbaji huyu aliweza kushare picha ya mzazi wake kitu ambacho yeye hupenda aukiweka kama private kwa kuwa ni personal life.

Ikiwa umekuwa ukijiuliza mrembo huyu alitoa wake umbo lake na uzuri wake basi tazama picha hii ya mamake akiwa mchanga.

Vanessa Mdee na mamake

Source: ghafla.com

Leave your comment