Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Hizi ni Nyimbo 3 za Bongo Flava Ambazo Victoria Kimani Anazikubali
6 April 2017

Victoria Kimani si mgeni katika midani za muziki wa Bongo Flava.
Amewahi kuwashirikisha Diamond na Ommy Dimpoz kwenye wimbo wake Prokoto. Lakini pia anafahamika kwa ukaribu wake na Vanessa Mdee. Na pia kwakuwa Tanzania na Kenya zipo karibu mno kimuziki, mrembo huyo husikiliza nyimbo kibao za Bongo Flava.
Hata hivyo, Victoria amezitaja nyimbo 3 anazozikubali zaidi kuwa ni:
AJE – ALIKBA
AY F/ DIAMOND – ZIGO REMIX
NAVY KENZO – KAMATIA
Source: bongo5.com
Weekly Top 10 songs

omelette4:28
Tudo Trocado3:17
Nasema3:02
ONLY YOU JESUS5:44
I AM3:12
CHAMPION GAL3:00
Ekinuma4:59
Akaana kokukyalo2:21
Joy Is Coming3:08
Mariana3:19
Top stories
- Mungu mkuu
16 July
- apology to all our fan's
18 July
- Stainer...music
18 July


Leave your comment