Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Hizi ni Nyimbo 3 za Bongo Flava Ambazo Victoria Kimani Anazikubali
6 April 2017

Victoria Kimani si mgeni katika midani za muziki wa Bongo Flava.
Amewahi kuwashirikisha Diamond na Ommy Dimpoz kwenye wimbo wake Prokoto. Lakini pia anafahamika kwa ukaribu wake na Vanessa Mdee. Na pia kwakuwa Tanzania na Kenya zipo karibu mno kimuziki, mrembo huyo husikiliza nyimbo kibao za Bongo Flava.
Hata hivyo, Victoria amezitaja nyimbo 3 anazozikubali zaidi kuwa ni:
AJE – ALIKBA
AY F/ DIAMOND – ZIGO REMIX
NAVY KENZO – KAMATIA
Source: bongo5.com
Weekly Top 10 songs

KAPEKE LONDON2:23
BIkola2:58
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
In My Bed2:50
CHAMPION GAL3:00
Buwooma2:44
Baddie remix feat Shannnon, aaronix, Tojo3:14
Paver2:55
Joy Is Coming3:08
Nitampeleka kwa Mama (ft. Xouh)3:44


Leave your comment