Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Bill Nass Akiri Kuwa Chorus ya Nazizi Kwenye Raha Ndio Ilimweka Kwenye Ramani ya Muziki
31 March 2017

Rapper Bill Nass hawezi kusahau mchango mkubwa wa Nazizi na TID kwenye maisha yake ya muziki.
Wawili hao waliufanya wimbo wake uliomtoa, Raha uwe na mvuto mkubwa.
Akimpongeza Nazizi kwenye siku yake ya kuzaliwa wiki hii, Bill ameielezea chorus iliyofanywa na muimbaji huyo wa kundi la Necessary Noise kuwa ndio ilikuwa kila kitu.
“Nakutakia maisha maref miaka mobb momma wa taifa,” aliandika Bill Nenga.
“U know I love u….!!have a blast chorus yako ndo imefanya leo wananiita Nenga mara Mzungu Mzee nabado nakomaa tuu….hope ur very proud too….hbd @nazizihirji.
Raha ndio wimbo uliomfanya rapper huyo atajwe kuwania tuzo za KTMA kwenye kipengele msanii bora chipukizi miaka miwili iliyopita.
Source: bongo5.com
Weekly Top 10 songs

omelette4:28
Tudo Trocado3:17
Nasema3:02
ONLY YOU JESUS5:44
I AM3:12
CHAMPION GAL3:00
Ekinuma4:59
Akaana kokukyalo2:21
Joy Is Coming3:08
Mariana3:19
Top stories
- Mungu mkuu
16 July
- apology to all our fan's
18 July
- Stainer...music
18 July


Leave your comment