Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Diamond na Zari wapata mtoto wa pili
7 December 2016

Hayawi hayawi na sasa yamekuwa. Hatimaye Zari The Bosslady na Diamond wamefanikiwa kumpata prince wa familia aliyekuwa akisubiriwa kwa hamu kubwa. Mtoto huyo amezaliwa saa 10 na 35 Alfajiri kwa saa za Afrika Mashariki, Jumanne, December 6.
Mtoto huyo amezaliwa kwenye hospitali ya NETCARE ya Pretoria nchini Afrika Kusini. Tayari Diamond na Zari wameonesha picha za mtoto huyo japo hawajaweka sura yake na bado hawajasema wamemwita jina gani.

“ thanking everyone for your prayers, we are all doing fabulously ok,” ameandika Zari.
Naye Diamond ameandika:


Tunawapongeza Diamond na Zari kwa kujaaliwa kupata mtoto wa kiume.
Pakua app ya Mdundo sasa: smarturl.it/mdundo_ig_play_tz
Weekly Top 10 songs

KAPEKE LONDON2:23
BIkola2:58
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
In My Bed2:50
CHAMPION GAL3:00
Buwooma2:44
Baddie remix feat Shannnon, aaronix, Tojo3:14
Paver2:55
Joy Is Coming3:08
Nitampeleka kwa Mama (ft. Xouh)3:44


Leave your comment