Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Hakuna kitu kinaitwa HipHop Singeli – One the Incredible
29 August 2016

Msanii mkali wa HIPHOP bongo One The Incredible asema hakuna aina ya muziki unaoitwa HipHop singeli na kama utakuja itakuwa ni baadaye sana.
Akiongea ndani ya eNewz One amesema " hakuna kitu kinachoitwa Hiphop singeli unaweza kuchana kwenye biti ya singeli kama alivyofanya Pro. Jay lakini haimaanishi kwa kufanya hivyo ndiyo iitwe Hiphop singeli"
Kwa sasa One The Incredible yupo studio anaandaa albam yake ya 3, ambapo eNewz ilitaka kujua kama ana mpango wa kufanya muziki wa singeli kwenye albam hiyo baada ya Mh. Profesa Jay kuachia ngoma yake ya Singeli “Kazi Kazi” na kusema kuwa kwa sasa hana mpango huo.
One amesema "Hata ukiona wasanii wa nje wanabadilika basi wanakuwa wameshaweka heshima katika muziki wao wanaouimba ndipo wanabadilika kwa kuwa hata muziki wa 'crunk' ni muziki wa zamani lakini kwa sasa ndiyo unapata umaarufu huku Bongo.
Weekly Top 10 songs

omelette4:28
Kyuma Radio and weasel ft Spice Diana4:07
ONLY YOU JESUS5:44
Kupenda nishapenda zaani3:12
CHAMPION GAL3:00
Nigina2:27
KIDUCHU2:12
Wano Wano2:15
Zabike2:50
Melody Ft Tunche the best3:20
Top stories
- Holy Boy (holyb374)
23 July
- Get New Hit Songs From Mock
23 July
- PLS GUYS SUPPORT ME
24 July


Leave your comment