New album Release On 28 august 2016
24 August 2016
Uzinduzi wa album ya rapper MIC GOWER iitwayo REMISSION utafanyika kwenye kanisa la TAG Tabata Segerea (DMC).
Siku ya Jumapili tarehe 28-8-2016 kuanzia saa tisa mchana, akisindikizwa na marapper wakali PETER BANZI, HURU KWELI, ELLY JOH, RUNGU LA YESU na wengine wengi. Bila kumsahau DJ JAZZ. Album itauzwa kwa Tsh 5000/=
Tshrt za R4C na REMISSION zitapatikana siku hiyo. Watu 20 wa mwanzo watapata Audio CD bure. KARIBU WOTE. HAKUNA KIINGILIO.
Siku ya Jumapili tarehe 28-8-2016 kuanzia saa tisa mchana, akisindikizwa na marapper wakali PETER BANZI, HURU KWELI, ELLY JOH, RUNGU LA YESU na wengine wengi. Bila kumsahau DJ JAZZ. Album itauzwa kwa Tsh 5000/=
Tshrt za R4C na REMISSION zitapatikana siku hiyo. Watu 20 wa mwanzo watapata Audio CD bure. KARIBU WOTE. HAKUNA KIINGILIO.
Leave your comment