Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Diamond na Zari watarajia mtoto mwingine
1 August 2016

Familia ya Diamond Platnumz inatarajia kupata mdogo wake Tiffa.. Hayo yametololewa na familia hiyo mara baada ya kupost kwenye mtandao wa snapchat .... na kuandika " This Kiss goes to my unborn son! " huku zari akionekana na Tumbo kubwa hii inadhihirisha kuwa soon familia hiyo itapata mtoto mwingine.
Pakua app ya Mdundo sasa: smarturl.it/mdundo_ig_play_tz
Weekly Top 10 songs
Top stories
- Morning guys
16 August
- Kadric m Gangsta Bleed out Now
16 August
- Gan theking
16 August




Leave your comment