TANZANIA: “You act brand new with a public property” – Huddah, aingia kwenye beef na Zari.

 

 

Kila kukicha, drama mpya inazaliwa na Diamond anakuwa centre ya ubuyu.

Staa huyo alifanikiwa kuizima skendo ya kumsaliti mpenzi wake Zari kwa kudaiwa kutembea na Hamisa Mobetto kwa kuachia hit yake ‘Kidogo’ na P-Square, lakini jingine limeibuka tena wiki hii.

La sasa hivi limhusu Zari na staa wa Kenya mwenye skendo chungu mzima, Huddah Monroe na kila mtu anajiuliza limeanzia wapi!

Ni kwasababu mastaa hawa walikuwa marafiki siku za nyuma. Let’s guess tatizo limeanza baada ya kudaiwa kuwa Zari amemkaushia Huddah kumpa mwaliko kwenye birthday party ya mtoto wake, Tiffah itakayofanyika mwezi ujao.

Ikumbukwe kuwa, June mwaka huu Huddah alipost Instagram kuelezea jinsi alivyo na hamu na birthday ya binti huyo maarufu.

 

Huddah

 

“Our baby @princess_tiffah Turning ONE soon…. The ROYAL DUTCHESS of TZEE . Hii Sio party ya kikosa Jamani . There will be a BIG SURPRISE that day! Asiye na wake aeleke jiwe….Mimi I’ll be there na mawe zangu khaa! Mama Tiffa @zarithebosslady give us LOCATION Basi …. We need to book tickets EARLY,” aliandika Huddah.

 

Vera Sidika

Lakini katika badiliko kubwa la tukio, ni hasimu wake na Huddah, Vera Sidika ndiye anadaiwa kualikwa.

 

 

Japo kunaweza kuwa na sababu nyingine kubwa zaidi nyuma ya mtifuano huo, lakini Huddah ameonekana kumind na amemrushia Zari makombora mfululizo kwenye Snapchat.

Kwa mujibu wa bidada huyo, Diamond ni mali ya umma inayoweza kugawiwa na mtu yeyote kama pizza. Kwenye ujumbe mwingine ameeleza kuwa amewahi kula chakula na wote wawili akiwaenjoy tu.

Tazama Snapchat za Huddah hapa chini:

 

 

 

 

 

 

Leave your comment

Top stories