Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Young Killer awatishia mashabiki zake
14 July 2016

Mashabiki wa Young Killer Msodoki wamekuwa na maoni tofauti baada ya rapper huyo kupitia instagram yake kutishia kuachana na muziki na kujikita kwenye mpiga wa miguu
Rapper huyo ambaye anafanya vizuri na video yake ya wimbo ‘Kumekucha’ akiwa amemshirikisha Mr Blue, hapo awali kabla ya kuingia kwenye muziki na kufanya poa, alikuwa akicheza mpira wa miguu.
Kupitia instagram alipost picha (hapo juu) na kuandika “Sijui niingie rasmi kucheza mpira!! sijui nikomae na mziki tu” kauli ambayo imezalisha mabishano katika ukurasa wake huyo.
Haya ni baadhi ya maoni ya mashabiki yake.
Frederickkatoto
Music ndo fresh mie mwenyew shabk wko nakkbar knoma noma msodoc
mtandic27
cjui kama mpira utauweza kama unavyouweza mziki, penda sana mziki wako killaboy
kingshemjr
Mpira wa utapewa kishipa broo c unajua watz wachawiiiiiiii
joe_platnumz#
popote popote kambi kinachomata nikupata chambichambi maana cku nazo hazgand@youngkillermsodokii
allylu2bybee
Hahaaa miss hip hop utamnyima kazi @rapha_tz mwambie akupe verce moja
asmatdoud
Bora vyote coz vinaingiza pesa pia na mwl unakua imara
Chanzo: Bongo5
Pakua app ya Mdundo sasa: smarturl.it/mdundo_ig_play_tz
Weekly Top 10 songs

omelette4:28
Kyuma Radio and weasel ft Spice Diana4:07
ONLY YOU JESUS5:44
Kupenda nishapenda zaani3:12
CHAMPION GAL3:00
Nigina2:27
KIDUCHU2:12
Wano Wano2:15
Zabike2:50
Melody Ft Tunche the best3:20
Top stories
- Holy Boy (holyb374)
23 July
- Get New Hit Songs From Mock
23 July
- PLS GUYS SUPPORT ME
24 July


Leave your comment