Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Siwezi nikamuimbia mwanaume - Mwasiti
23 June 2016

Mwasiti amesema katika maisha yake yote, kamwe hatokuja kukaa na kumwandikia wimbo mwanaume. Akiongea na kipindi cha Jam Session cha Metro FM ya Mwanza kinachoendeshwa na Jay Joh kujibu swali la kama wimbo wake mpya ‘Unaniangalia’ amemuimbia mwanaume, Mwasiti alisema haitokuja kutokea.
“Sijamuimba mtu yeyote naomba niklie hiyo issue, hiyo ni sanaa,” amesema. “Sitegemea kumuimba mtu yeyote katika career yangu labda nitamuimbia mwanangu na mama yangu. Siwezi nikamuimbia mwanaume kabisa nikakaa chini nadraft hivi, hapana,” aliongeza.
Miongoni mwa mashairi yaliyozua utata kwenye wimbo huo ni pamoja na: Wala hukunipenda mimi,We ulitamani wa mjini, Wamekupiga chini,Unanifuata mimi wa nini!?
Pakua app ya Mdundo sasa: smarturl.it/mdundo_ig_play_tz
Weekly Top 10 songs

Hatuachani8:47
Every push.2:01
Blessings Flow2:26
PENDEZESHA0:35
Daddy2:50
Bend and pouse2:54
Kisirani0:39
Boom party3:47
Nigina2:27
ONLY YOU JESUS5:44
Top stories
- Yopa freestyle
14 August
- The Nolan Wells Story song Out Now
14 August
- Oxene Quiles feat kane gee
15 August
- Morning guys
16 August


Leave your comment