Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Tuna project ambayo tunaifanyiakazi - Max
23 June 2016

Rapper Young Dee aka ‘rapa paka’ baada siku ya jana kukiri alikuwa anatumia Madawa na kulevya, anajuka na mpango maalum ambao utaweza kuelimisha vijana kuhusu athari za matumizi ya Madawa ya kulevya.
Akiongea na waandishi wa habari Jumatano hii, Mkurugenzi wa label ya MDB ambayo inamsimamia msanii huyo, Max Rioba, alisema tayari wao kama uongozi unaandaa mpango maalum ambao utampa fursa rapa huyo ya kuwaelimisha vijana kuhusu athari za matumizi ya Madawa ya kulevya.
“Tuna project ambayo tunaifanyiakazi, ambayo ziwezi kuiweka wazi zaidi kwa sababu ni mapema,” alisema Max.
“Nina uhakika utakapofikia wakati wake yeyote yule ambaye anataka kuingia kwenye matumizi ya Madawa ya kulevya atajiuliza mara mbilimbili, sisi tulimuonyesha Young Dee wasanii ambao wameathirika na Madawa ya kulevya, tukamuuliza unataka kuwa kama fulani? Ungependa kesho tuwe na press conference kwamba umekufa? Kwamba tulikuwa na msanii, kwa hiyo kupitia mtindo kama huu utabadili mawazo ya vijana wengi”
Pakua app ya Mdundo sasa: smarturl.it/mdundo_ig_play_tz
Weekly Top 10 songs

omelette4:28
Kyuma Radio and weasel ft Spice Diana4:07
ONLY YOU JESUS5:44
Kupenda nishapenda zaani3:12
CHAMPION GAL3:00
Nigina2:27
KIDUCHU2:12
Wano Wano2:15
Zabike2:50
Melody Ft Tunche the best3:20
Top stories
- Holy Boy (holyb374)
23 July
- Get New Hit Songs From Mock
23 July
- PLS GUYS SUPPORT ME
24 July


Leave your comment