Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Video ya Burger Movie Selfie Remix kutoka Ijumaa
23 June 2016

Video ya remix ya ngoma ya Belle 9, Bulger Movie Selfie inatoka Ijumaa hii. Ngoma hiyo imeshirikisha wasanii watano ambao ni pamoja na Izzo B, Jux, G-Nako, Mr Blue na Maua Sama.
Staa huyo ameiambia Bongo5 kuwa video hiyo imeguswa na waongozaji watatu ambapo muongozaji mkuu ni Mkenya, Enos Olik. Wengine ni Hanscana na Khalfan. Amedai pia kuwa camera iliyotumika ni Red ambayo huchukua picha zenye ubora mkubwa zaidi
Pakua app ya Mdundo sasa: smarturl.it/mdundo_ig_play_tz
Weekly Top 10 songs
Top stories
- Morning guys
16 August
- Gan theking
16 August
- Kadric m Gangsta Bleed out Now
16 August




Leave your comment