Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Studio ya WCB yafungwa kwa muda
8 June 2016

Studio ya Lebo ya WCB ambayo inamilikiwa na staa wa muziki wa nchini Naseeb Abdul a.k.a Diamond Platnumz imefungwa kwa muda ilikupisha ukarabati wa studio hiyo.
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram, Diamond alipost picha ya studio hiyo na kuandika haya:
“I can't wait to present to you our @WasafiRecords New Look!.... Still on the Making though
Weekly Top 10 songs
Top stories
- DOBBAH RANKS
19 May
- Maynikinah Bio
19 May
- Release of new hit
19 May




Leave your comment