Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Mchoro wazua vioja mtandaoni
2 June 2016

Kipaji cha uchoraji ni kitu kinachoweza kubeba hisia za mtu kupitia Sanaa. Mchoraji mmoja kupitia gazeti moja nchini ameamua kuchora mchoro unaoonyesha wanadada ambao wako kimahusiano na wanaume walio na umri mdogo kuliko wao, ni picha hiyo kusambaa katika mtandao wa kijamii wa Instagram.
Waliochorwa ni Jackline Wolper ambaye yuko kimahusiano na Harmonize, Wema Sepetu ambaye yuko kimahusiano na Idris Sultan, Zarina Hassan ‘Zari’ ambaye yuko kimahusiano na Diamond Platnumz pamoja Auntie Ezekiel ambaye naye yuko katika mahusiano na Moseiyobo.
Kupitia mtandao wa Instagram Wema Sepetu alipost na kusema: “Ila aliechora hii natamani tu nimuone... Nimpe mkono....
Weekly Top 10 songs
Top stories
- DOBBAH RANKS
19 May
- Release of new hit
19 May
- Maynikinah Bio
19 May




Leave your comment