Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Mchoro wazua vioja mtandaoni
2 June 2016

Kipaji cha uchoraji ni kitu kinachoweza kubeba hisia za mtu kupitia Sanaa. Mchoraji mmoja kupitia gazeti moja nchini ameamua kuchora mchoro unaoonyesha wanadada ambao wako kimahusiano na wanaume walio na umri mdogo kuliko wao, ni picha hiyo kusambaa katika mtandao wa kijamii wa Instagram.
Waliochorwa ni Jackline Wolper ambaye yuko kimahusiano na Harmonize, Wema Sepetu ambaye yuko kimahusiano na Idris Sultan, Zarina Hassan ‘Zari’ ambaye yuko kimahusiano na Diamond Platnumz pamoja Auntie Ezekiel ambaye naye yuko katika mahusiano na Moseiyobo.
Kupitia mtandao wa Instagram Wema Sepetu alipost na kusema: “Ila aliechora hii natamani tu nimuone... Nimpe mkono....
Weekly Top 10 songs
Top stories
- Brand new song
28 April
- So good EP release
28 April
- #NEW MUSIC #NEW artist #RAYMATS!
30 April




Leave your comment