Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Kuna uwezekano wa Ne-yo kurudi tena TZ
27 May 2016

Kuna uwezekano mkubwa staa wa Marekani, Ne-Yo akaja tena Tanzania kwa mara ya pili.
Akiongea na mtangazaji wa Jembe FM, JJ baada ya show ya Jembeka Festival Jumamosi iliyopita, Ne-Yo alisema wimbo huo utaachiwa hivi karibuni.
“Baada ya wimbo kutoka ni lazima nije tena kwasababu tutautumbuiza,” alisema muimbaji huyo wa Miss Independent. “I will definitely be back,” alisema.
Wawili hao waliutumbuiza wimbo huo pamoja kwenye tamasha hilo lililofanyika jijini Mwanza. Msikilize zaidi hapo chini.
Pakua app ya Mdundo sasa: smarturl.it/mdundo_ig_play_tz
Weekly Top 10 songs
Top stories
- Joe Chriss music
16 June
- Approval
16 June
- New sound dropping tonight
16 June
- Bleeding soul full lyrics
16 June




Leave your comment