Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Diamond amwaga noti kwenye sherehe ya Cookie
23 May 2016

Msanii wa muziki wa bongo fleva nchini Tanzania Naseeb Abdul, alimaarufu kama Diamond Platnumz siku ya jana ya tarehe 22 May amemwaga pesa nyingi kama zawadi yake ya kutimiza mwaka mmoja tangu azaliwe na siku ya jana hiyo iyo kubatizwa kanisani. Mtoto huyo aitwae Cookie, baba yake mzazi anaitwa Moseiyobo ambaye ni dancer wa Diamond na mama yake anaitwa Auntie Ezekiel ambaye ni muigizaji wa filamu nchini.



Weekly Top 10 songs
Top stories
- Brand new song
28 April
- So good EP release
28 April
- #NEW MUSIC #NEW artist #RAYMATS!
30 April




Leave your comment