Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: (Picha) Diamond na Ne-yo ndani ya steji moja la Jembeka Festival
23 May 2016

Tamasha la Jembeka lililofanyika siku ya tarehe 21 mwezi May jijini Mwanza ‘Rock City’ lilifana huku likihudhuriwa na maelfu ya watu. Wasanii waliyopeform ni Stamina, Biznea, Maua Sama, Mr. Blue, Young Rafa, Jimmy Chansa, Sylight Band, Diamond Platnums pamoja na msanii kutoka Marekani, Ne-yo.
Tazama picha za tamasha hilo hapa:




















Weekly Top 10 songs
Top stories
- Joe Chriss music
16 June
- Approval
16 June
- New sound dropping tonight
16 June
- Bleeding soul full lyrics
16 June




Leave your comment