Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: (Picha) Diamond na Ne-yo ndani ya steji moja la Jembeka Festival
23 May 2016

Tamasha la Jembeka lililofanyika siku ya tarehe 21 mwezi May jijini Mwanza ‘Rock City’ lilifana huku likihudhuriwa na maelfu ya watu. Wasanii waliyopeform ni Stamina, Biznea, Maua Sama, Mr. Blue, Young Rafa, Jimmy Chansa, Sylight Band, Diamond Platnums pamoja na msanii kutoka Marekani, Ne-yo.
Tazama picha za tamasha hilo hapa:




















Weekly Top 10 songs
Top stories
- Brand new song
28 April
- So good EP release
28 April
- #NEW MUSIC #NEW artist #RAYMATS!
30 April




Leave your comment