Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: (Picha) Diamond na Ne-yo ndani ya steji moja la Jembeka Festival
23 May 2016

Tamasha la Jembeka lililofanyika siku ya tarehe 21 mwezi May jijini Mwanza ‘Rock City’ lilifana huku likihudhuriwa na maelfu ya watu. Wasanii waliyopeform ni Stamina, Biznea, Maua Sama, Mr. Blue, Young Rafa, Jimmy Chansa, Sylight Band, Diamond Platnums pamoja na msanii kutoka Marekani, Ne-yo.
Tazama picha za tamasha hilo hapa:




















Weekly Top 10 songs
Top stories
- DOBBAH RANKS
19 May
- Release of new hit
19 May
- Maynikinah Bio
19 May




Leave your comment