Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Ommy Dimpoz ameamua kuweka wazi mahusiano yake.
11 May 2016

Msanii Ommy Dimpoz ambaye anamiliki lebo ya muziki ya Poz kwa Poz (PKP) amezungumzia mahusiano yake mwandani wake ambaye yupo UK kisomea Udaktari, na kusema kwa sasa ameamua kuweka wazi mahusiano hayo kwani tayari amekuwa mtu mzima.
“Nishakuwa mtu mzima ukiweka hivo inapunguza usumbufu, na kwa sasa yeye yupo UK anasomea udaktari”, alisema Ommy Dimpoz
Pakua app ya Mdundo sasa: smarturl.it/mdundo_ig_play_tz
Weekly Top 10 songs
Top stories
- Gan theking
16 August
- Kadric m Gangsta Bleed out Now
16 August
- News
16 August




Leave your comment