Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Snura afungiwa kufanya sanaa
4 May 2016

Tamko hilo limekuja mara baada ya TCRA, BASATA na Wizara ya habari, Bodi ya filamu kukaa na Bi Snura kwa kubaini kuwa wimbo una maudhui ya udhalilishaji , ukiukwaji wa haki za binadamu na tamaduni ya kitanzania.
Aidha serikali imesisitiza kwa watumiaji wa mtandao kuacha mara moja kusambaza video hiyo kwani TCRA itawachukulia hatua wale wote watakao endelea kuisambaza video hiyo.
Aidha serikali imesisitiza kwa watumiaji wa mtandao kuacha mara moja kusambaza video hiyo kwani TCRA itawachukulia hatua wale wote watakao endelea kuisambaza video hiyo.
Weekly Top 10 songs
Top stories
- Jakabwana rmixx
14 June
- Approval
16 June
- Joe Chriss music
16 June




Leave your comment